Font Size
1 Wakorintho 15:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
1 Wakorintho 15:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Baadaye akawa tokea ndugu waamini zaidi ya mia tano kwa pamoja, na wengi wao wangali hai, ingawa wengine wameshakufa. 7 Kisha akamtokea Yakobo, na ndipo akawatokea mitume wote. 8 Na mwisho wa wote, akanitokea na mimi, ambaye ni kama nilizaliwa kwa hali isiyo ya kawaida.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica